LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 19, 2012

KUTANA NA PAKA WA ZANZIBAR

Juzi Mtayarishaji Mkuu wa CCM Blog, Bashir Nkoromo,  alikuwa Zanzibar kikazi, alipokwenda kupata chai kwenye mgahawa mmoja maarufu, baadhi ya meza zikawa na vyombo vyenye mabaki ya vyakula vilivyoachwa na wateja. Kutokana na vyombo hivyo kuchelewa kuondolewa na wahudumu wa mgahawa huo,  alitokea paka huyu, na kuanza kula mabaki taratiiiib na kwa raha mustarehe kama ifuatavyo;- 
 2
 3
 4
Picha zote na Bashir Nkoromo

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages