LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 19, 2012

MWILI WA MPIGANAJI ALFRED MBOGORA WASAFIRISHWA LEO

Mamia ya Wanahabari leo walikusanyika  nyumbani kwa marehemu Alfred Mbogora ,kuaga mwili wa mwandishi mwenzao amabye anaaminika ni moja ya wachapakazi wa aina yake, mwili wa marehemu umesafirishwa leo kwenda Musoma kwa mazishi.

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages