![]() |
| Wanafunzi kutoka vyuo vya elimu ya juu wakifuatilia kwa makini uchambuzi wa mada mbali mbali juu ya katiba. |
![]() |
| Naibu Katibu wa Tume ya mabadiliko ya katiba Nd.Casmir S. Kyuki akifafanua masuala ya msingi juu ya mabadiliko ya Katiba. |
![]() |
| Dk.Harrison Mwakyembe Mwenyekiti wa Kongamano hilo akimkaribisha Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Mh.Joseph Sinde Warioba |
![]() |
| Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba akifunga Kongamano la Katiba. |






No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇