LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

May 10, 2012

KATIBU MKUU WA CCM AMJULIA HALI PROF. MWANDOSYA

Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama (kulia) akizungumza na Waziri asiyekuwa na Wizara Maalum, Profesa Mark Mwandosya alipokwenda kumjulia hali nyumbani kwake, Kunduchi, Dar es Salaam. Katikati ni Lucy, mke wa Mwandosya. Picha kutoka Michuzi Blog kwa picha zaidi BOFYA HAPA (LEO MAY 10, 2012)

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages