LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Feb 27, 2022

SAFARI YA MAHUJAJI WA KANISA HALISI KUTOKA DAR ES SALAAM KWENDA HIJA KIGOMA, WAWASILI JANA USIKU

Kuhani Moja Halisi akizungumza kuwapa maelekezo mahujaji wa Kanisa Halisi la Mungu Baba baada ya kuwasili kwa treni kwenye Stesheni ya Mjini Kigoma, jana usiku. Ibada ya Hija ya Chanzo Halisi inafanyika kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika Ujiji, Kigoma leo kuanzia saa 8 mchana hadi saa 10 jioni.
Afisa wa Polisi mkoani Kigoma (kushoto) akizungumza na Mahujaji wa Kanisa Halisi la Mungu Baba baada ya mahujaji hao kuwasili kwa treni kwenye stesheni ya reli ya Kati mjini Kigoma jana usiku.

Maelfu ya Mahujaji hao baada ya kuwasili kwenye srtesheni ya Reli ya Kati mjini Kigoma

Kuhani Ushindi (kulia) baada ya kumpokea Kuhani Moja (wapili kulia),kwenye Stesheni ya Reli ya Kati Mjini Kigoma, Kuhani Moja ndiye alikuwa Mkuu wa Msafara kutoka Jijini Dar es Salaam. 

Mwanzo wa safari kutoka Dar👇

Kuhani Moja Halisi (kuhsoto) akiongozana na baadhi ya makuhani wa Dawati la Hija, kwenda kwenye mabehewa kuweka utaratibu mwanzoni mwa safari kutoka jijini Dar es Salaam.
Kuhani Moja na baadhi ya makuhani wa Dawati la Hija wakielekea kwenye mabehewa jijini Dar es Salaam juzi.
Mahujaji wa Kanisa Halisi walipanda kwenye mabehewa jijini Dar es Salaam.
Mahujaji wa Kanisa Halisi wakipanda katika mabehewa
Mahujaji wakipanda kwenye mabehewa ya treni jijini Dar es Salaam.
Makuhani wa Dawati la Hija wakiwa tayari kwenye behewa kutoka Jijini Dar es Salaam
Uzao akiwa na mtoto wake katika behewa wakati wa safari hoyo.
Uzao ambao ni majuhaji wakiwa kwenye basi, baada ya kupanda mahujaji wote kuhamishwa kutoka kwenye treni na kupandishwa kwenye mabasi baada ya treni kufika Morogoro na kushindwa kuendelea na safari kutokana na sehemu moja kati ya Morogoro na Dodoma kujaa maji ya mvua.
Uzao ambao ni majuhaji wakiwa kwenye basi, baada ya kupanda mahujaji wote kuhamishwa kutoka kwenye treni na kupandishwa kwenye mabasi baada ya treni kufika Morogoro na kushindwa kuendelea na safari kutokana na sehemu moja kati ya Morogoro na Dodoma kujaa maji ya mvua.m
Mahujaji wakiwa kwenye treni kutoka Dodoma kwenda Kigoma
Uzao wakiwa kwenye treni
Uzao wakiwa kwenye treni
Uzao ambaye ni Hujaji akifanya uzalishaji wa kuuza mavazi kwenye treni.
Uzao wakiwa kwenye treni
Uzao wakiwa kwenye treni muda mfupi kabla ya kuwasili mjini Kigoma jana usiku.

Uzao wakiwa kwenye treni muda mfupi kabla ya kuwasili mjini Kigoma jana usiku.

 ©2022 CCM Blog/Bashir Nkoromo


3 comments:

  1. Heri tuliobalikiwa na chanzo halisi

    ReplyDelete
  2. Heri heri uzao na kuhani halisi wa mungu baba mbarikiwa kubarikiwa kwa damu safi na nyeupe imekwisha kua kubwa mno

    ReplyDelete
  3. Mungu BABA akubariki sana kwa kuweka habari ii ili wengine ambayo hatukwenda kwenye hija tuweze kuona kilichojiri uko

    ReplyDelete

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages