Mar 29, 2020

MOTO UKITEKETEZA SOKO LA WAFANYA BIASHARA WADOGO ARUSHA

Moto mkubwa uliozuka katika soko maarufu la wafanyabiashara wadogo wadogo jijini Arusha umeteketeza nusu ya mali katika enao hilo ikwemo vibanda vya nguo na vitu ambapo mapaka sasa thamani ya mali hizo haijajulikana huku taaridfa za awali zikielezwa kuwa chanzo cha moto huo ni hitilafu ya umeme


 Gari ya zimamoto likiwa katika eneo la tukio



Baadi ya wananchi wakishuhudiwa na kujaribui kuokoa baadhi ya mali  

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Pages