LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Apr 20, 2016

JK NCHINI CHINA



      Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais Mstaafu Mhe Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Mjumbe wa Kamati Kuu Maalum ya watu 7 inayoongoza Chama Cha CPC na Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China katika Ofisi za Makao Makuu ya CPC zilizopo Grand Hall jijini Beijing, China.
   Mwenyekiti wa CCM na Rais Mstaafu Dk Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika moja ya vikao vyake akiwa ziarani China.
       Wajumbe walioongozana na Mkiti wa CCM wakiwa ktk picha ya Pamoja, Kutoka kulia Mhe Prof Mbarawa, Mhe Dkt Kamani, Mhe Salma Kikwete, Balozi Shimbo, Mhe Jakaya Kikwete, Mhe Zakia Meghj, Mhe Maua Daftar, Mhe Dkt Mgana na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi.

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages