LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 13, 2015

WABUNGE WA CCM WAENDELEA KUCUKUA FOMU ZA USPIKA



Mbunge wa Jimbo la Ilala Mussa Azzan Zungu (kulia) akikabidhiwa fomu za kuwania nafasi ya Unaibu Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka kwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa anayeshughulikia Oganaizesheni Ndugu Mohamed Seif Khatib,
 Mbunge wa Jimbo la Ilala Mussa Azzan Zungu akionesha fomu za kuwania nafasi ya unaibu spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka kwa waandishi wa Habari waliojitokeza kwenye Makao Makuu ya CCM ofisi Ndogo Lumumba.
 Mbunge wa Jimbo la Ilala Mussa Azzan Zungu akijaza fomu za kugombea Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 Mbunge wa Jimbo la Kasulu Mjini Ndugu Daniel Nswanzingwanko akiandika taarifa zake kwenye kitabu maalum cha kusajili majina ya waliochukua fomu za Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
  Mbunge wa Jimbo la Kasulu Mjini Ndugu Daniel Nswanzingwanko akikabidhiwa fomu za kuwania nafasi ya  Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka kwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa anayeshughulikia Oganaizesheni,  Ndugu Mohamed Seif Khatib

Mbunge wa Jimbo la Kasulu Mjini Ndugu Daniel Nswanzingwanko akionesha fomu ya kuwania uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano mara baada ya kuzichukua katika ofisi ya Oganaizesheni CCM Lumumba.

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages