Kamati Kuu ya Halmashauri
Kuu ya Taifa ya CCM inatarajiwa kufanya kikao chake cha siku moja mjini Dodoma
kesho Novemba 15, 2015 kujadili majina ya wana-CCM walioomba ridhaa ya
kuteuliwa kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania.
Nov 14, 2015
Home
Unlabelled
KIKAO CHA KAMATI KUU KUFANYIKA KESHO MJINI DODOMA
KIKAO CHA KAMATI KUU KUFANYIKA KESHO MJINI DODOMA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇