LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Feb 16, 2015

RAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA CHIFU MKWAWA IRINGA LEO


 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji  Chifu mpya wa
Wahehe, Chifu Adam Abdu Mkwawa, Mtwa Adam wa Pili (14), wakati wa
mazishi ya baba yake aliyekuwa Chifu wa Kabila la Wahehe, Chifu Abdu
Mfwimi Adam Mkwawa  katika eneo la Nyumba ya Makumbusho ya Chifu
Mkwawa, Kijiji cha Karenga  leo Februari 16, 2015


 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na   Chifu mpya wa
Wahehe, Chifu Adam Abdu Mkwawa, Mtwa Adam wa Pili (14), wakati wa
mazishi ya baba yake aliyekuwa Chifu wa Kabila la Wahehe, Chifu Abdu
Mfwimi Adam Mkwawa leo  katika eneo la Nyumba ya Makumbusho ya Chifu
Mkwawa, Kijiji cha Karenga Februari 16, 2015.


 Rais Jakaya Mrisho Kikweteakitia saini kitabu cha maombelezo
  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpa pole mjane wa aliyekuwa Chifu
wa Kabila la Wahehe, Chifu Abdu Mfwimi Adam Mkwawa leo  Kijiji cha
Karenga Februari 16, 2015


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo kaburini wakati wa
mazishi ya aliyekuwa Chifu wa Kabila la Wahehe, Chifu Abdu Mfwimi Adam
Mkwawa leo  katika eneo la Nyumba ya Makumbusho ya Chifu Mkwawa,
Kijiji cha Karenga Februari 16, 2015.

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages