HABARI MPYA

Your Ad Spot

Apr 18, 2013

NAPE AWASHUKIA WANASIASA KANJANJA

Katibu Mkuu wa CCM Taifa ndugu Abdulrahaman Kinana akisalimiana na wanachama wa shina la Ulaya Mbuyuni mara tu baada ya kulifungua rasmi ,Kilosa.
Shina hilo ni moja kati ya mashine manne aliyofungua wilayani Kilosa.

Wanachama wa CCM wakiwa kwenye mkutano wa ndani na  Katibu Mkuu wa CCM Taifa,Ndugu Abdulrahaman Kinana.

Wazee waasisi na wanachama hai wa Chama Cha Mapinduzi wakimsikiliza Katibu Mkuu,kwenye mkutano wa ndani hapo Kilosa.

Katibu wa NEC,Oganizesheni, Dr. Mohamed Seif  Khatibu akisalimia wananchi wa Kilosa.

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi akihutubia wananchi wa Kilosa na kuwapa pongezi kushiriki kwenye  mchakato wa Katiba  Mpya, na pia aliwagusia wananchi kuwa makini na makanjanja wa kisiasa.

Katibu Mkuu wa CCM akihutubia wananchi wa Kilosa na kuwataka kutimiza wajibu,kujiajiri na kuthamini chama cha Mapinduzi.

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages