Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akiwa katika mazungumzo na Waziri wa Nchi, Wizara ya Mambo ya Nje ya Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani Katja Keul, Ikulu Jijini Dar es Salaam leo, Aprili 11, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akiwa katika picha kumbukumbu na Waziri wa Nchi, Wizara ya Mambo ya Nje ya Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani Katja Keul mara baada ya mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo, Aprili 11, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akiagana na Waziri wa Nchi, Wizara ya Mambo ya Nje ya Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani Katja Keul baada ya mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo, Aprili 11, 2022.(Picha na Ikulu).
Your Ad Spot
Apr 11, 2022
Home
featured
Kitaifa
RAIS SAMIA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA WAZIRI WA NCHI, WIZARA YA MAMBO YA NJE WA UJERUMANI, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM, LEO
RAIS SAMIA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA WAZIRI WA NCHI, WIZARA YA MAMBO YA NJE WA UJERUMANI, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM, LEO
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This
About Bashir Nkoromo
Kitaifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇