LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 9, 2018

RAIS MUSEVENI WA UGANDA ATUA NCHINI TANZANIA, LEO

Rais Dk. John Pombe Magufuli akimpokea mgeni wake Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere alipowasili nchini leo kwa ajili ya ziara ya Siku moja.

 Rais Dk. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda baada ya kumpokea katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere alipowasili nchini leo kwa ajili ya ziara ya Siku moja.
 Rais Dk. John Pombe Magufuli akimtambulisha kwa viongozi baada ya kumpokea mgeni wake huyo Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere alipowasili nchini leo kwa ajili ya ziara ya Sikh moja.
 Rais Dk. John Pombe Magufuli akimkaribisha sehemu ya mapumziko baada ya kumpokea mgeni wake Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere alipowasili nchini leo kwa ajili ya ziara ya Sikh moja.
Rais Dk. John Pombe Magufuli akimpokea mgeni wake Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere alipowasili nchini leo kwa ajili ya ziara ya Sikh moja.

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages