LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 22, 2017

SHULE YA GENIUS KINGS YAJIPANGA KUWA SHULE BORA KITAALUMA TANZANIA

 Wanafunzi wa shule ya Genius Kings Nursery and Primary School iliyopo Tabata jijini Dar es Salaam, wakifundishwa somo la kompyuta.
Wanafunzi wa darasa la tano wakimsikiliza kwa makini mwalimu wa taaluma.
 Wanafunzi wa darasa la sita na la saba katika wa shule ya Genius Kings wakiwa katika chumba cha maabara wakijifunza somo la sayansi kwa vitendo.
Wanafunzi wa darasa la sita na la saba katika wa shule ya Genius Kings wakiwa katika chumba cha maabara wakijifunza somo la sayansi kwa vitendo wakitoa maelezo kwa Mkurugenzi wa Shule hiyo Bw. Machage Kisyeri.
Mkurugenzi wa Shule hiyo Bw. Machage Kisyeri akiwa ofisini kwake.

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages