Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan (Watatu kushoto) akiwa kwenye Shughuli ya majonzi ya kuaga miili ya wanafunzi 32, walimu wawili na dereva mmoja waliokufa katika ajali ya gari mkoani Arusha, juzi, Shughuli hiyo imefanyika leo kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha. Kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo
Uwanja wa Sheikh Amri Abeid ukiwa umefurika waombolezaji wakati wa kuaga miili hiyo, leo
Your Ad Spot
May 8, 2017
Home
Unlabelled
KINANA ASHIRIKI KUAGA MIILI YA WANAFUNZI 32, WALIMU WAWILI NA DEREVA WALIOFARIKI KWA AJALI YA GARI MKOANI ARUSHA JUZI
KINANA ASHIRIKI KUAGA MIILI YA WANAFUNZI 32, WALIMU WAWILI NA DEREVA WALIOFARIKI KWA AJALI YA GARI MKOANI ARUSHA JUZI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇