LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Mar 22, 2017

HIVI HII 'KARIBUNI' YA MAALIM SEIF ITAFIKA LINI

Na Charles Charles
 
Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amewaambia tena Wazanzibari kwamba "hivi karibuni", watasherehekea matunda ya kura zao walizopiga katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25,  2015, hivyo wasubiri kufanya sherehe ya kupatikana kwa haki yao.

Lakini wakati akiendelea na kauli yake hiyo hapa swali linalozuka ni kwamba je, hivi hii "karibuni" ya Maalim Seif itafika lini kwa vile sasa imemaliza mwaka na miezi mitano bila hata dalili?

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages