Na Charles Charles
Katibu
Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amewaambia tena Wazanzibari
kwamba "hivi karibuni", watasherehekea matunda ya kura zao walizopiga
katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, 2015, hivyo wasubiri kufanya sherehe
ya kupatikana kwa haki yao.
Lakini
wakati akiendelea na kauli yake hiyo hapa swali linalozuka ni kwamba
je, hivi hii "karibuni" ya Maalim Seif itafika lini kwa vile sasa
imemaliza mwaka na miezi mitano bila hata dalili?
No comments:
Post a Comment
ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇