LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jul 23, 2016

HOTUBA YA MWENYEKITI WA CCM, NDUGU JAKAYA KIKWETE, WAKATI WA MKUTANO MKUU WA CCM MJINI DODOMA LEO DODOMA, 23 JULAI 2016



Mwenyekiti wa CCM  Jakaya Kikwete akihutubia katika
Mkutano Mkuu wa CCM leo katika Ukumbi wa Dodoma
Convetion Centre. Ukiwa ni maalum kupitisha jina la
Rais Dk. Magufuli kuwa Mwenyekiti mpya wa CCM
HOTUBA YA MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE, MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI, WAKATI WA MKUTANO MKUU WA CCM
DODOMA, 23 JULAI 2016

Mheshimiwa Dr. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania;
Mheshimiwa Dr. Ali Mohammed Shein, Makamu Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Zanzibar;
Mheshimiwa Philip Mangula, Makamu Mwenyekiti wa CCM – Bara;
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania;
Mheshimiwa Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania;
Mheshimiwa Balozi Seif Ali Idd, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar
Mheshimiwa Ali Hassan Mwinyi, Rais na Mwenyekiti Mstaafu wa CCM;
Mheshimiwa Benjamin William Mkapa, Rais na Mwenyekiti Mstaafu wa CCM;  >>>INAENDELEA>> BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages