LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 19, 2015

JINA LA WAZIRI MKUU LATAJWA BUNGENI

Mhe. Kassim Majaliwa mbunge wa jimbo la Ruangwa jina lake limependekezwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli ambapo atapigiwa kura na wabunge wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages