HABARI MPYA

Your Ad Spot

Oct 23, 2015

MAMA SAMIA ATUA MJINI ZANZIBAR, KUUNGURUMA NA DK. SHEIN LEO UWANJA WA DEMOKRASIA aka KIBANDA MAITI JIONI HII

 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akishuka kwenye ndege baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege Mjini Zanzibar leo, kwa ajili ya mkutano wa kampeni utakaofanyika jioni hii kwenye Viwanja vya Demokrasia au Kibanda maiti
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akilakiwa na Mume wake, Hafidh Ameir, baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege mjini Zanzibar leo. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Zanzibar, Vuai Ali Vuai
 Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akilakiwa na Mjukuu wake, Hamiar Ameir, baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege mjini Zanzibar leo
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tikei ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Msanii wa Bongo Movie alioko katika kundi la kampeni za CCM la 'Mama Ongea na Mwanao' Wema Sepetu alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege mjini Zanzibar leo
Baadhi ya viongozi wa CCM wakisubiri kwa hamu kusalimiana na Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege Mjini Zanzibar leo
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwasalimia baadhi ya viongozi alipowasili Uwanja wa Ndege Mjini Zanzibar leo
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwasalimia baadhi ya wasanii wa Bongo Movie alipowasili Uwanja wa Ndege Mjini Zanzibar leo
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwa na Mwenyeji wake, Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Zanzibar Vuai Ali Vuai (Kushoto), baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege mjini Zanzibar leo
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akifurahia ngoma alipowasili Uwanja wa Ndege Mjini zanzibar leo
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akitazama bidhaa za Kina mama Wajasiriamali, alipowasili Uwanja wa Ndege Mjini Zanzibar leo
 Vijana wakitumbuiza kwa muziki wa matarumbeata kumpokea Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM Mama Samia Suluhu Hassan alipowasili Uwanja wa Ndege mjini Zanzibar leo
 Baadhi ya waandishi wa habari waliopo katika msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM wakiwa katika gari lao wakati wa mapokezi ya Mgombea huyo, kwenye Uwanja wa Ndege mjini Zanzibar leo
 Bango la kumkaribisha Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM Mama Samia likiwa katika barabara ya Michenzani mjini Zanzibar
 Wazee Maarufu wakisubiri kumpokea Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, katika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui mjini Zanzibar leo
 Kina mama wakiwa na viavuli kumpokea Mama Samia kwenye Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui mjini Zanzibar leo
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwa na Muavuli kuwaunga mkono Kinamama waliompokea kwa miavuli kwenye Afisi Kuu ya CCM, Kisiwandu mjini Zanzibar leo
 Pikipiki zikiongoza Msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan kuingia Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui mjini Zanzibar leo
 Msafara wa Mama Samia Suluhu Hassan ukiingia kwenye Afisi Kuu ya CCM, Kisiwandui Mjini Zanzibar leo
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akisalimia baadhi ya viongozi baada ya kuwasili Afisi Kuu ya CCM, Kisiwandu mjini Zanzibar leo. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages