LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 17, 2015

MAMA SAMIA ATUA KWA CHOPA NA KUUNGURUKA SUMBAWANGA MJINI LEO

 Bando la kumkaribisha Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM Mama Samia Suluhu Hassan,likiwa limeshikwa na wananchi katika uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine mjini Sumbawanga mkoani Rukwa  leo
 Chopa iliyomsafirisha Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan ikiwasili katika Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine mjini Sumbawanga mkoani Rukwa leo, ambako mgombea huyo alihutubia mkutano mkubwa wa kampeni.
 Chopa iliyomsafirisha Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan ikiwasili katika Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine mjini Sumbawanga mkoani Rukwa leo, ambako mgombea huyo alihutubia mkutano mkubwa wa kampeni.
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akipanda jukwaani baada ya kuwasili kwa Chopa, katika Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine mjini Sumbawanga mkoani Rukwa, kuhutubia mkutano wa mkutano  wa kampeni.
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia suluhu Hassan akisalimia wananchi baada ya kuwasili kwa Chopa kuhutubia mkutano wa kampeni leo kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine mjini Sumbawanga
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akijadili jambo na Mgombea Ubunge jimbo la Sumbawanga mjini Aeshi Hilary, wakati wa mkutano wa kampeni aliofanya leo katika Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine jatika jimbo hilo mkoani Rukwa
 Wananchi wakiwa wamefurika katika Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine mjini Sumbawanga mkoani Rukwa leo katika mkutano wa kampeni wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan
 Mjumbe wa Kamati ya kampeni za CCM, Mwigulu Nchemba akisisitiza jambo alipohutubia mkutano wa kampeni wa Mama Samia uliofanyika leo katika Uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine mjini Sumbawanga mkoani Rukwa
 Mjumbe wa Kamati ya Kamapeni ya CCM Kitaifa Mwigulu Nchemba, akimnadi Mgombea Ubunge jimbo la Sumbawanga Mjini Aeshi Hilalry katika mkutano wa kamepni wa Mama Samia (kushoto), uliofanyika leo katika Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine mjini Sumbawanga mkoani Rukwa.
 Wananchi wakishangilia katika mkutano wa kampeni uliofanywa na Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine mjini Sumbawanga mkoani Rukwa
 Mgombea Ubunge jimbo la Sumbawanga mjini Aeshi Hilary akiomba kura wakati wa mkutano wa kampeni wa Mama Samia uliofanyika leo katika jimbo hilo mkoani Rukwa
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia mkutano wa kampeni aliofanya leo katika Uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine jimbo la Sumbawanga mjini mkoani Rukwa
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Sulhu Hassan akimnadi Mgombea Ubunge jimbo la Sumbawanga mjini Aeshi Hilary katika mkutano wa kampeni aliofanya kwenye Uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine katika jimbo hilo mkoani Rukwa
Vijana wa kazi wakiwa pamoja wakati wa mkutano wa kampeni wa Mama Samia uliofanyika leo katika Uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine jimbo la Sumbawanga mjini mkoani Rukwa. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages