LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 14, 2015

DK MAGUFULI ASEMA BADO SIKU 12 KUWA RAIS WATANZANIA


 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akijinadi kwa wananchi kuomba kura za ndiyo katika mkutano wa kampeni mjini Mkuranga, Pwani leo.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Wasanii wakishangilia wakati Dk Magufuli akiwasili kwenye mkutano wa kampeni katika Jimbo la Kibiti, mkoani Pwani leo.
 Mama mfuasi wa CCM akionesha furaha yake baada ya kumuona Dk Magufuli  wakati msafara wake uliposimamishwa na wananchi katika Kijiji cha Mbwemkulu, Wilaya ya Kilwa
 Mfugaji wa Jamii ya Kisukuma, akifurahia kofia aliyopatiwa zawadi na Dk Magufuli katika mkutano wa kampeni eneo la Nyamwage, wilayani Rufuji leo.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Dk Magufuli akimhesabia Mgombea Ubunge Jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega aliyekuwa akipiga Push Up wakati wa mkutano wa kampeni mjini Mkuranga
 Wananchi wa Kata ya Nangaru, Jimbo la Nchinga, wakishangilia baada ya kumuona Dk Magufuli akiwasili kwenye mkutano wa kampeni za CCM, katika Kata ya Nangaru, Jimbo la Nchinga, wMkoa wa Lindi
 Dk Magufuli akimvisha kofia mmoja wa wananchama wa upinzani waliamua kuhamia CCM katika mkutano wa kampeni
 Dk Magufuli akimkabidhi Ilani ya Uchaguzi ya CCM, Mgombea ubunge Jimbo la Nchinga, Said Mtanda katika mkutano wa kampeni Kata ya Nangaru PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Mama akishangaa kumuona Dk Magufuli wilayani Kilwa
 Mmoja w a waliokuwa viongozi wa CUF, akitangaza kujitoa  Chama Cha Wananchi (CUF), NA KUJIUNGA ccm katika kutano wa kampeni za CCM,mjini Kilwa.
 Dk Magufuli akimnadi Mgombea ubunge Jimbo la Kilwa Kusini, wakati wa mkutano wa kampeni za CCM  mjini Kilwa Masoko.

 Dk Magufuli akimnadi Mgombea ubunge Jimbo la Kilwa Kaskazini, Murtaza  Mangungu eneo la Malendegu, wilayani Kilwa.

 Wananchi wakishangilia kwa furaha na kuahidi kumpigia kura za ndiyo katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, mwaka huu, Dk Magufuli..PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG


 Wananchi wa Kijiji cha Jaribu wakishangilia wakati Dk  akihutubia na kuomba apigiwe kura za ndiyo.

 Wananchi wakiwa na furaha kukubali kunyoosha mikono juu ikiwa ni ishara kumkubali Dk Magufuli na kuahidi kumpigia kura Oktoba 25 mwaka huu.
 Dk Magufuli akimnadi Mgombea ubunge Jimbo la Mkuranga,Abdalah Ulega
 Mke wa Mgombea ubunge Jimbo la Mkuranga,Abdalah Ulega, Mariam akiwa na furaha baada ya kuona mwenzi wake akipigiwa debe na Dk Mafuli.
Aliyekuwa Mbunge wa Mkuranga, Adam Malima, akiwapigia debe Dk Magufuli na Ulenga mjini Mkuranga
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

11 comments:

  1. Quality articles is the secret to be a focus for the users to pay
    a quick visit the site, that's what this site is providing.

    ReplyDelete
  2. My spouse and I stumbled over here different page and thought I should
    check things out. I like what I see so now i'm following you.

    Look forward to looking at your web page repeatedly.

    ReplyDelete
  3. Great beat ! I would like to apprentice while you amend your site,
    how can i subscribe for a blog website? The account
    helped me a acceptable deal. I had been a little bit
    acquainted of this your broadcast provided bright clear concept

    ReplyDelete
  4. Hurrah! After all I got a website from where I be capable of truly take useful information concerning my study and knowledge.

    ReplyDelete
  5. Hey There. I discovered your blog using msn. That is a really well written article.

    I will be sure to bookmark it and return to read more of your helpful info.
    Thank you for the post. I will certainly return.

    ReplyDelete
  6. Hello there! This is kind of off topic but I need some advice from an established
    blog. Is it hard to set up your own blog? I'm not very techincal but I can figure things
    out pretty fast. I'm thinking about setting up my own but I'm not sure where to
    begin. Do you have any ideas or suggestions? Cheers

    ReplyDelete
  7. Hello! Do you know if they make any plugins to protect against hackers?
    I'm kinda paranoid about losing everything I've
    worked hard on. Any tips?

    ReplyDelete
  8. An intriguing discussion is worth comment. There's no doubt that that you need to publish more on this
    issue, it might not be a taboo subject but usually people do not discuss these subjects.
    To the next! Cheers!!

    ReplyDelete
  9. Hello, I believe your web site could possibly be having internet browser compatibility issues.
    Whenever I look at your site in Safari, it looks fine
    however when opening in IE, it has some overlapping issues.
    I merely wanted to provide you with a quick heads up!
    Aside from that, excellent website!

    ReplyDelete
  10. Hola me ha encantado esta nota, creo haber cogidobuena anotacion, amo Tailandia y deseo regresar el
    prĂłximo mes me quedo chequeando algunas mas, me sumo a ver las
    actualizaciones, muchas muchas gracias

    ReplyDelete
  11. Asking questions are truly nice thing if you are not understanding anything fully, except this paragraph gives good understanding
    yet.

    ReplyDelete

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages