LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Sep 25, 2015

CELINA KOMBANI AFARIKI DUNIA

 
 
 
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh.Celina Kombani amefariki dunia nchini India  alikokuwa akipatiwa matibabu.
Taarifa za kifo chake kimewastua Viongozi wa Serikali, Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi na wananchi wa Jimbo lake .


No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages