Wafanyakazi wa ofisi ya mwakilishi wa kudumu wa Tanzania Umoja wa
Mataifa Geneva wakimsikiliza Rais Jakaya Kikwete, jana baada ya kuzungumza nao na kisha kupata futari
katika Hoteli ya Intercontinental jijini Geneva Uswisi. (picha na Freddy Maro)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na
wafanyakazi wa ofisi ya mwakilishi wa kudumu wa Tanzania Umoja wa
Mataifa Geneva jana baada ya kuzungumza nao na kasha kupata futari
katika Hoteli ya Intercontinental jijini Geneva Uswisi. (Picha na Freddy Maro)
Your Ad Spot
Jul 17, 2015
Home
Unlabelled
RAIS KIKWETE AZUNGUMZA NA WATANZANIA WAISHIO USWIS
RAIS KIKWETE AZUNGUMZA NA WATANZANIA WAISHIO USWIS
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇