LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Feb 2, 2015

SONGEA ILIVYOPENDEZA SIKU YA SHEREHE ZA MIAKA 38 YA KUZALIWA KWA CCM


 Mawenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisimama kikakamavu wakati wimbo wa Taifa ukipigwa kwenye kilele cha sherehe za miaka 38 ya CCM katika uwanja wa Majimaji mjini Songea ziliziopambwa vilivyo na chipukizi wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM)
 Chipukizi wa UVCCM wakipia saluti huku wakiimba  wimbo wa Taifa
 Saluti kwa wimbo wa Taifa
 Bendi ya Chipukizi kutoka Zanzibar ikipiga wimbo wa Taifa
 Rais Kikwete akikagua gwaride la chipukizi wa UVCCM
 Kamanda wa gwaride la chioukizi wa UVCCM akimshukuru Rais Kikwete kwa ukaguzi
 Chipukizi wakakamavu wa UVCCM Songea wakiwa kazini huku wakishangiliwa
 Wanahabari wakirekodi tukio zima
 Gwaride la chipukizi wa UVCCM songea
 Gwaride likijiandaa kwa mwenzo wa pole
 Kikosi cha Bendera
 Chipukizi wa UVCCM Songea wakionesha ukakamavu wa hali ya juu
 Nidhamu na ukakamavu
 Gwaride likipita mbele ya jukwaa kuu
 Meza kuu ikipokea gwaride kwa furaha

 Rais Kikwete akionekana kufurahishwa na gwaride la chioukizi wa UVCCM Songea
 Sehemu ya maelfu ya wananchi wa Songea
 Gwaride kazini
 Ukakamavu na nidhamu
 Heshima kulia
 Hakuna mchezo hapa
 Kiapo cha utii baada ya hatua 15 mbele

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages