LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Dec 2, 2014

MBUNGE WA JIMBO LA MOROGORO MJINI AVUNA WANACHAMA 167 KUTOKA UKAWA




Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Kulia akimsikiliza Aliyekuwa Mwenyekiti Baraza la Vijana la Chama cha wananchi CUF Wilaya ya Morogoro Ndugu Mariam Iswili aliyeamua Kurudisha Kadi ya Cuf na Kujiunga na Chama cha Mainduzi.Katika Tukio Hilo jumla ya wanacha 167 Kutoka Vyama vya CUF CHADEMA na NCCR MAGEUZI Walirudisha kadi zao na kusema vyama hivyo havina sera Mya zaidi ya Majungu na Maneno Mengi yasiyo na Tija kwa wananchi.
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Kiwa na Kadi ya Cuf aliyoiokea.
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akionyesha kazi alizokabidhiwa kuto kwa wanachama waliohama kutoka vyama vya CHADEMA  na CUF na Kuhamia CCM
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Za vyama vya chadema CUF na Nccr Mageuzi alizookea Kutoka kwa wanachama wa Vyama Hivyo na Kuamua Kujiunga na chama cha Mapinduzi .





Waliokuwa wanachama wa Ukawa wakila kiao mara baada ya Kukabidhiwa kadi za CCM

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages