LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 13, 2012

UCHAGUZI KUMPATA MWENYEKITI MPYA WA CCM TAIFA NA MAKAMU WAKE WAWILI WAFANYIKA


 Mgombea wa Uenyekiti wa CCM, Taifa, Rais Jakaya Kikwete akipiga kura kuchagua wakati wa uchaguzi wa Mwenyekiti wa CCM Taifa, jioni hii, kwenye ukumbi wa Kizota, Dodoma. Kulia ni  Mgombea Umakamu Mwenyekiti (Bara) Philip Mangula na watatu kulia ni Makamu Mwenyekiti Zanzibar, Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Sheni.
 Wajumbe wakipiga kura kuchagua Mwenyekiti wa CCM Taifa, jioni hii, kwenye ukumbi wa Kizota, Dodoma. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages