LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 13, 2012

RAIS KIKWETE ALIPOTEMBELEA BANDA LA GAZETI LA UHURU

Rais Jakaya Mrisho Kikwete pamoja Abdulrahaman Kinana wakiangalia picha za zamani katika banda la Magazeti ya Uhuru na Mzalendo.

Rais Jakaya Kikwete akiwa ndani ya banda la Gazeti la Uhuru na Mzalendo na amefarijika sana kuona gazeti hilo kongwe la chama kuendelea kuwa moja ya magazeti bora nchini,kushoto ni Mhariri Mtendaji,Josiah Mfungo.


No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages