Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, . Hamad Hassan Chande (kushoto) akimkabidhi taarifa hiyo Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti na Mwenyekiti wa Bunge, Daniel Sillo
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, . Hamad Hassan Chande (kushoto) akimkabidhi taarifa hiyo, Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja.
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video. Naibu Waziri Chande, Profesa Henry Mollel wa Chuo Kikuu cha Mzumbe na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, Sillo wakielezea kuhusu mafanikio ya mpango na miradi hiyo....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇