Mkuu wa Wilaya ya Chamwino, Gift Msuya (kushoto) na Mkuu wa Wilaya ya Singida, Mhandisi Paskasi Muragili wakisikiliza kwa makini wakati Mtaalamu akielezea kuhusu ufugaji wa samaki kwa kutumia vizimba katika Maonesho ya Kilimo ya Nane Name Kanda ya Kati jijini Dodoma Agosti 7, 2022.Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, wakuu hao wa wilaya wakielezea kuhusu maonesho hayo.....IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇