LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

May 15, 2019

RAIS DK. MAGUFULI AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA RAFIKI YAKE, MAREHEMU FESTO ISOKOZA KATIKA HOSPITALI KUU YA JWTZ , LUGALO JIJINI DAR ES SALAAM, LEO

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli wakitoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa marehemu Festo Rutamigwa Isokoza alipoongoza kuaga mwili huo katika Hospitali kuu ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania ya Lugalo jijini Dar es salaam leo Jumatano Mei 15, 2019. Isokoz, aliyekuwa mtaalamu wa kilimo alifanya kazi katika JWTZ na taasisi zake za kilimo kama vile JKT Itende na Mgambo kabla ya kustaafu akiwa Shirika la Elimu Kibaha,  alikuwa rafiki mkubwa wa  Rais Dk. Magufuli ambaye  walisoma pamoja tokea darasa la kwanza hadi la saba katika Shule ya Msingi ya..Inaendelea>BOFYA HAPA 

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages