LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Apr 24, 2019

RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AMEKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS PROF.MUTHARIKA KATIKA IKULU YA KAMUZU ILIYOPO LILONGWE NCHINI MALAWI, LEO APRILI 24, 2019

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimshukuru mwenyeji wake Rais wa Malawi Prof.  Arthur Peter Mutharika kwa Zawadi aliyompatia mara baada ya Mazungumzo ya Kiserikali katika Ikulu ya Kamuzu iliyopo Jijini Lilongwe Nchini Malawi.Aprili 24, 2019.

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages