LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 5, 2018

WAZIRI MKUU AKIMJULIA HALI WAZIRI KIGWANGALA NA MSANII MZEE MAJUTO


 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa na Mkewe Mary wakimpa pole Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamisi Kigwangalla, ambaye amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, jijini Dar es salaam Agosti 5, 2018, akipewa matibabu baada ya kupata ajali.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa pole Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamisi Kigwangalla, ambaye amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, jijini Dar es salaam akipatiwa matibabu baada ya kupata ajali Agosti 5, 2018,
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa na Mkewe Mary wakimpa pole Msanii Amri Athumani (Mzee Majuto), ambaye amelazwa katika hospitali ya Muhimbili, jijini Dar es salaam Agosti 4, 2018, kushoto ni Mke wa Meze Majuto, Aisha Mbwa

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimjulia hali mama wa Mthamini Mkuu wa Serikali, Evelyne Mugasha wa kwanza kulia, ambaye amelazwa katika Taasisi ya Jakaya Kikwete, Muhimbili jijini Dar es salaam Agosti 4, 2018, kutoka kushoto ni Dk. Tulizo Sanga, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda,


Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages