LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 14, 2018

AFYA YA WAZIRI KIGWANGALA YAZIDI IMARIKA

Waziri wa Maliasili na Utali Dr Hamisi Kigwangalla anaendelea kuimarika vizuri baada ya kupata ajali ya gari alipokuwa akitokea mkoani Arusha kuelekea Dodoma baada ya gari lake kupinduka na kusababisha kifo cha Afisa habari wa wizara hiyo Hamza Temba. 

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages