Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Korea, Mheshimiwa Lee Nak-Yon wakati mgeni huyo alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Julius Kamabarage Nyerere jijini Dar es salaam kwa Ziara ya siku tatu chini Julai 21, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongozana na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Korea, Mheshimiwa Lee Nak- Yon baada ya mgeni huyo kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es salaam kwa Ziara ya siku tatu nchini, Julai 21, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Korea, Mheshimiwa Lee Nak- Yon wakifurahiz jambo baada ya mgeni huyo kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es salaam kwa Ziara ya siku tatu nchini, Julai 21, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Your Ad Spot
Jul 21, 2018
Home
Unlabelled
WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA KOREA , LEE NAK - YON AWASILI NCHINI NA KUPOKELEWA NA WAZIRI MKUU KASSIM MAJLIWA
WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA KOREA , LEE NAK - YON AWASILI NCHINI NA KUPOKELEWA NA WAZIRI MKUU KASSIM MAJLIWA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇