LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jul 5, 2018

VIONGOZI WA TAMUFO WARUDI NA FURSA KIBAO KUTOKA KENYA KWENYE MKUTANO WA KIMATAIFA


Rais wa Umoja wa Wanamuziki Tanzania (TAMUFO), Dk.Donald Kisanga akiongoza mkutano wa kimataifa wa nchi 12 uliofanyika Nairobi Kenya mapema wiki iliyopita. Mkutano huo umekwisha mwishoni mwa wiki iliyopita.

Rais wa Umoja wa Wanamuziki Tanzania (TAMUFO), Dk.Donald Kisanga akijadiliana jambo na mshiriki wa mkutano huo kutoka Botswana, Tumelo Keay.


Rais wa Umoja wa Wanamuziki Tanzania (TAMUFO), Dk.Donald Kisanga akijadiliana jambo na mshiriki wa mkutano huo kutoka, Rwanda.

 Rais wa Umoja wa Wanamuziki Tanzania (TAMUFO), Dk.Donald Kisanga, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa mkutano huo kutoka nchi za Afrika.
  Rais wa Umoja wa Wanamuziki Tanzania (TAMUFO), Dk.Donald Kisanga, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa mkutano huo kutoka nchi za Afrika. Kushoto ni Katibu wa TAMUFO, Stellah Joel.

Washiriki wa mkutano huo kutoka nchi 12 za Afrika wakiwa katika picha ya pamoja.

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages