Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Voluntary Services Overseas (VSO), Dkt. Philip Goodwin alipomtembelea Julai 26 2018 Ofisini kwake Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (wa tatu kushoto) akimsikiliza Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Voluntary Services Overseas (VSO), Dkt. Philip Goodwin (wa tano kulia) pale ugeni kutoka Shirika hilo ulipomtembelea Julai 26 2018 Ofisini kwake Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (wa tatu kushoto) akizungumza na ugeni kutoka Shirika la Kimataifa la Voluntary Services Overseas (VSO) walioongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika hilo, Dkt. Philip Goodwin (kushoto kwa Spika) walipomtembelea Julai 26 2018 Ofisini kwake Jijini Dodoma.
No comments:
Post a Comment
ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇