LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jul 21, 2018

MAKAMU WA RAIS AWASILI MKOANI SONGWE

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan amewasili Mkoani Songwe na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Songwe Chiku Gallawa katika uwanja wa Ndege wa kimataifa Songwe mapema leo asubuhi ili kuanza ziara ya kikazi ya siku tano.

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages