LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jun 29, 2018

SERIKALI KUBORESHA MFUMO WA HUDUMA ZA VIBALI VYA AJIRA NA UKAAZI NCHINI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Jenista Mhagama (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari alipokutana nao kuzungumzia azma ya Serikali ya kuboresha mfumo wa huduma za vibali vya ajira na ukaazi nchini hii leo Juni 28, 2018 Jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages