LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jun 1, 2018

KATIBU MKUU MPYA WA JUMUIYA YA WAZAZI AKABIDHIWA RASMI OFISI, LEO

 Katibu Mkuu mpya wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania, Erasto Sima (kushoto) akipokea vitendekazi kutoka kwa Katibu Mkuu Mstaafu, wa Jumuiya hiyo Seif Shaaban Mohamed katika makabidhiano ya Ofisi yaliyofanyika leo jijini Dae es Salama
 Baadhi ya Viongozi wakijiandaa kumlaki Katibu Mkuu huyo mpya
 Baadhi ya viongozi wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania wakiimba nyimbo za hamasa wakati wakisubiri ujio wa Katibu Mkuu huyo wa Jumuiya yao leo
 Baadhi ya viongozi wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania wakiimba nyimbo za hamasa wakati wakisubiri ujio wa Katibu Mkuu huyo wa Jumuiya yao leo
   Katibu Mkuu Jumuiya ya Wazazi, Erasto Sima (kushoto) akilakiwa na Katibu Mkuu Mstaafu, wa Jumuiya hiyo Seif Shaaban Mohamed jijini Dae es Salama
 Katibu Mkuu wa CCM akikabidhiwa maua kunogesha mapokezi
 Katibu Mkuu mpya wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania akisalimia baadhi ya viongozi waliofika kwenye mapo0kezi yake
  Katibu Mkuu Jumuiya ya Wazazi Tanzania, Erasto Sima (kushoto) akipewa na Katibu Mkuu Mstaafu, wa Jumuiya hiyo Seif Shaaban Mohamed vitabu vya kusaini, baada ya kuwasili Ofisi ya Jumuiya hiyo jijini Dar es Salaam
  Katibu Mkuu Jumuiya ya Wazazi Tanzania, Erasto Sima akipokea akisaini kitabu cha wagerni
  Katibu Mkuu Jumuiya ya Wazazi, Erasto Sima (kushoto) akimsikiliza kwa makini Katibu Mkuu Mstaafu, wa Jumuiya hiyo Seif Shaaban Mohamed wakati akizungumza katika makabidhiano ya Ofisi yaliyofanyika leo jijini Dae es Salama
  Katibu Mkuu mpya wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania, Erasto Sima (kushoto) akipokea vitendekazi kutoka kwa Katibu Mkuu Mstaafu, wa Jumuiya hiyo Seif Shaaban Mohamed katika makabidhiano ya Ofisi yaliyofanyika leo jijini Dae es Salama
  Katibu Mkuu mpya wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania, Erasto Sima akizungumza na waandishi wa habari baada ya makabidhiano ya ofisi
 Katibu Mkuu Mstaafu, wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania Seif Shaaban Mohamed akimkaribisha kuzungumza na  Katibu Mkuu mpya wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania, Erasto Sima na baadhi ya viongozi wa Jumuiya hiyo, mwishoni mwa  makabidhiano ya Ofisi yaliyofanyika leo jijini Dae es Salama. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages