Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tawi la Washington DC, Virginia na Maryland
Wametoa msaada wa vyakula ikiwemo Mchele, mbuzi, maharage, matunda, maji soda na fulana kwa vijana wa Magu mkoani Mwanza walikuwa wamepiga kambi.
Katibu Mwenezi wa Tawi la Washington DC Virginia na Maryland
Salma Moshi kwa niaba ya Tawi alisema hilo ni jukumu lao kusaidia vijana wanapokuwa katika shughuli mbalimbali kama hiyo ya kuweka kambi kwa manufaa ya CCM.
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (VCCM) wa wilaya Magu
Mwakimu Ayubu Bindule
Ameshukuru sana na kusema huu ndio ushirikiano unaohitajika.
vijana wlimaliza Kambi siku ya Alhamisi, June 21. 2018
Your Ad Spot
Jun 27, 2018
Home
Unlabelled
CCM WASHINGTON DC, VIRGINIA NA MARYLAND WAWAPIGA TAFU UVCCM MAGU
CCM WASHINGTON DC, VIRGINIA NA MARYLAND WAWAPIGA TAFU UVCCM MAGU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇