LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

May 28, 2018

MWENYEKITI WA CCM RAIS DK. MAGUFULI AONGONZA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA TAIFA (NEC) YA CCM JIJINI DAR ES SALAAM LEO

Mwenyekiti wa CCM Rais Dk. John Magufuli  akiwa meza kuu katika Ukumbi wa mikutano wa Kikwete kwa ajili ya kuongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) wa Chama cha Mapinduzi (CCM) leo Jumatatu Mei 28, 2018. Kushoto ni Makamu Mwenyeti wa CCM Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein na kulia ni Mamaku Mwenyekiti wa CCM Bara Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana
Wajumbe wa NEC Waziri Mkuu msfaafu Mizengo Pinda na Makongoro Nyerere wakishangiliwa na wajumbe wezao walipokuwa wakiingia ukumbini kwenye kikao hicho.
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akitoa hotuba ya utangulizi kwenye kikao hicho
Makamu Mwenyekiti wa CCM Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein akizungumza kwenye kikao hicho
Mwenyekiti wa CCM Rais Dk Mgufuli akiongoza kikao hicho
Wajumbe wakiwa kwenye kikao hicho

KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA TAIFA YA CCM (NEC) KINACHOENDELEA KUFANYIKA CHINI YA UENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM,DKT JOHN POMBE MAGUFULI KIMEPITISHA MAJINA MAWILI YA WAJUMBE WAPYA WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA NEC AMBAO NI WAZIRI MKUU MSTAAFU WA AWAMU YA NNE NDUGU MIZENGO PETER PINDA NA NDUGU MAKONGORO NYERERE.

KIKAO HICHO PIA KIMEPIGA KURA YA KUWAPATA WAJUMBE SITA  KWA KUZINGATIA JINSIA WATATU KUTOKA TANZANIA BARA NA WATATU KUTOKA TANZANIA ZANZIBAR AMBAO WATKUWA WAJUMBE WA KAMATI KUU

MAJINA 14, TISA KUTOKA KILA UPANDE YALIPENDEKEZWA KUWANIA NAFASI HIZO.

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages