HABARI MPYA

Your Ad Spot

Aug 17, 2017

ZIARA YA RAIS DK.SHEIN WILAYA YA KUSINI UNGUJA, LEO

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) alipokuwa akiangalia Tungule wakati alipotembelea Biashara za Kilimo za Ushirika wa Mtule AMCOS leo pamoja na Viongozi wengine  wakati alipotembelea katika Ofisi ya Ushirika huo kupata maelezo akiwa katika ziara ya kutembelea Miradi mbali mbali ya Wananchi wa Wilaya ya Kusini Unguja,(kulia) Mwenyekiti wa Ushirika wa Mtule AMCOS Bw.Mgana Khamis Zidi
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) alipokuwa akiangalia Mabilingani  wakati alipotembelea Biashara za Kilimo za Ushirika wa Mtule AMCOS leo pamoja na Viongozi wengine  wakati alipotembelea katika Ofisi ya Ushirika huo kupata maelezo akiwa katika ziara ya kutembelea Miradi mbali mbali ya Wananchi wa Wilaya ya Kusini Unguja,(wa pili kulia) Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja pia kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein (wa pili kulia) alipokuwa akiuliza jambo wakati alipotembelea Biashara za Kilimo za Ushirika wa Mtule AMCOS leo pamoja na Viongozi wengine (Pichani) matikiti yaliyouzwa kati ya Shilingi za Kitanzania Elfu tano Mpaka Elfu Nne wakati alipotembelea katika Ofisi ya Ushirika huo kupata maelezo akiwa katika ziara ya kutembelea Miradi mbali mbali ya Wananchi wa Wilaya ya Kusini Unguja
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akifuatana na Mwenyekiti wa Ushirika wa Mtule AMCOS Bw.Mgana Khamis Zidi (katikati) pamoja na Viongozi wengine wakifuatana mara baada ya kuwasili katika Ofisi ya Ushirika huo leo na kupata maelezo akiwa katika ziara ya kutembelea Miradi mbali mbali ya Wananchi wa Wilaya ya Kusini Unguja
 Baadhi ya Akina Mama wa Ushirika wa Mtule AMCOS walipokuwa wakimkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) wakati alipotembelea katika Ofisi ya Ushirika huo iliyopo Mtule Kandahar wakati alipokuwa katika ziara ya kutembelea Miradi ya maendeleo ya wananchi Wilaya ya Kusini Unguja leo
  Mjumbe wa Kamati ya Mikopo katika Ushirika wa Mtule AMCOS Nd,Haji Juma Haji (kushoto) alipokuwa akitoa maelezo kwa  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein (wa pili kushoto) wakati alipotembelea katika Ofisi ya Ushirika huo iliyopo Mtule Kandahar wakati alipokuwa katika ziara ya kutembelea Miradi ya maendeleo ya wananchi Wilaya ya Kusini Unguja leo (katikati) Mwenyekiti wa Ushirika wa Mtule AMCOS Bw.Mgana Khamis Zidi
 Mjumbe wa Kamati ya Mikopo katika Ushirika wa Mtule AMCOS Nd,Haji Juma Haji (kushoto) alipokuwa akitoa maelezo kwa  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein (wa pili kushoto) wakati alipotembelea katika Ofisi ya Ushirika huo iliyopo Mtule Kandahar wakati alipokuwa katika ziara ya kutembelea Miradi ya maendeleo ya wananchi Wilaya ya Kusini Unguja leo (katikati) Mwenyekiti wa Ushirika wa Mtule AMCOS Bw.Mgana Khamis Zidi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) pamoja na Viongozi wengine wakiwa katika Picha ya Pamoja na Wanaushirika wa Mtule AMCOS leo wakati alipotembelea katikaOfisi ya Ushirika huo kuangalia maendeleo waliofikia wananchi hao akiwa katika ziara ya kutembelea maendeleo katika Wilaya ya Kusini Unguja

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages