Baadhi ya wafanyakazi wa Kituo cha Ununuzi wa Karafuu wa Bandarini
Wete Pemba wakiwa katika zoezi la Utiaji wa karafuu katika magunia
ambazo zimeshanunuliwa na Shirika la ZSTC wakati Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohmed Shein (hayupo pichani)
alipotembelea Kituo hicho katika Bandarini Wete Mkoa wa kaskazini Pemba
leoakiwa katika ziara ya kutembelea Miradi mbali mbali ya
Maendeleo,[Picha na Ikulu.]23/08/2017.
Your Ad Spot
Aug 23, 2017
Home
Unlabelled
ZIARA YA RAIS DK.ALI MOHAMED SHEIN WILAYA YA WETE PEMBA
ZIARA YA RAIS DK.ALI MOHAMED SHEIN WILAYA YA WETE PEMBA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇