HABARI MPYA

Your Ad Spot

Jul 18, 2017

ZIARA YA KAIMU KATIBU MKUU UVCCM SHAKA KIGOMA MJINI NA VIJIJINI YAFANA KWA KUKAGUA SHUGHULI ZA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM 2015-2020

KAIMU Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Shaka Hamdu Shaka (wa tatu kulia) akipokea zawadi ya Sabuni alipotembelea na kukagua Utekelezaji wa ilani ya CCM katika kikundi cha vijana wanaojishuhulisha na Mradi wa uwekezaji viwanda vidogo vidogo katika utengenezaji wa sabuni na usimikaji wa dagaa katikakata ya mwanga wilayani Kigoma mjini Mkoa wa Kigoma.
 MBUNGE wa Viti Maalumu Zainab Katimba akizungumza na viongozi wa mashina na matawi wapya  waliochaguliwa,kata na wilaya ya kigoma mjini wa chama cha mapinduzi na jumuiya zake katika ukumbi wa mikutano Kizito Kigoma Mjini.
 KAIMU Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Shaka Hamdu Shaka akisimikwa na wazee wa mkoa wa kigoma
 wanachana wakiendelea kusikiliza kwa umakini
KAIMU Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Shaka Hamdu Shaka akizungumza na viongozi wa mashina na matawi wapya  waliochaguliwa,kata na wilaya ya kigoma mjini wa chama cha mapinduzi na jumuiya zake katika ukumbi wa mikutano Kizito Kigoma vijijin.
 KAIMU Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Shaka Hamdu Shaka akiagana pamoja na Viongozi mbali mbali Wilayani Kigoma Mjini mara baada ya Mkutano

 KAIMU Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Shaka Hamdu Shaka akiwa amebeba Mtoto
kipeperushi cha kumkaribisha KAIMU Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Shaka Hamdu Shaka .katika wilaya ya Kigoma vijijin
 KAIMU Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Shaka Hamdu Shaka akishiriki katika zoezi la ufyatuaji wa matofali katika kikundi cha Mgera Youth Group katika kata ya Mwandigwa cha wajasilia mali wanaojishuhulisha na shughuli mbali mbali za ujasilia mali zinazo fanywa ikiwemo kufyatua tofali za kuchoma ,kutengrneza sabuni ,uvuvi na hisa kilichoanzishwa mwaka 2015
  KAIMU Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Shaka Hamdu Shaka akishiriki katika zoezi la ubebaji wa matofali katika kikundi cha Mgera Youth Group katika kata ya Mwandigwa cha wajasilia mali wanaojishuhulisha na shughuli mbali mbali za ujasilia mali zinazo fanywa ikiwemo kufyatua tofali za kuchoma ,kutengrneza sabuni ,uvuvi na hisa kilichoanzishwa mwaka 2015
  MBUNGE wa Viti Maalumu Zainab Katimba akishiriki katika zoezi la ufyatuaji wa matofali katika kikundi cha Mgera Youth Group katika kata ya Mwandigwa cha wajasilia mali wanaojishuhulisha na shughuli mbali mbali za ujasilia mali zinazo fanywa ikiwemo kufyatua tofali za kuchoma ,kutengrneza sabuni ,uvuvi na hisa kilichoanzishwa mwaka 2015
  KAIMU Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Shaka Hamdu Shaka akizungumza na wana hisa wa kikundi cha Mgera Youth Group katika kata ya Mwandigwa
 KAIMU Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Shaka Hamdu Shaka wa( kwanza kulia) akishiriki akishiriki kazi ya Uchimbaji Msingi kwa ajili ya usambazaji wa maji safi na Salama katika kijiji cha kalinza na mlagala ikiwa ni sehemu ya Utekelezaji wa ilani ya Uchaguzi wa CCM 2015-2020 Mradi ambao utagharimu Tshs 786642000/=Fedha zinazotoka mfuko mkuu wa serikali.
 KAIMU Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Shaka Hamdu Shaka wa( kwanza juu kulia) akikagua maendeleo ya ujenzi wa Tank kwa ajili ya usambazaji wa maji safi na Salama katika kijiji cha kalinza na mlagala ikiwa ni sehemu ya Utekelezaji wa ilani ya Uchaguzi wa CCM 2015-2020 Mradi ambao utagharimu Tshs 786642000/=Fedha zinazotoka mfuko mkuu wa serikali.
 KAIMU Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Shaka Hamdu Shaka akifungua shina la wakereketwa na kisha kuzungumza na kundikubwa la vijana katika kata ya kagongo kijiji cha mgaraza ambapo pia aliwapokea viongozi 19 waandamizi wa wilaya na kata toka katika vyama CUF,ACTWazalendo na NCCR Mageuzi ambao aliwakaribisha na kuwakabidhi kadi za CCM.
 MBUNGE wa Viti Maalumu Zainab Katimba akizungumza na viongozi wa mashina na matawi wapya   waliochaguliwa pamoja na wanachama wa kata na wilaya ya kigoma Vijijini wanachama  wa cha mapinduzi na jumuiya zake.
  Mwenyekiti wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi akizungumza na viongozi wa mashina na matawi wapya   waliochaguliwa pamoja na wanachama wa kata na wilaya ya kigoma Vijijini wanachama  wa cha mapinduzi na jumuiya zake.
  KAIMU Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Shaka Hamdu Shaka akipokea katia ya moja wa wanachama wapya waliotoka katika vyama vya upinzani
   KAIMU Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Shaka Hamdu Shaka akizungumza na viongozi wa mashina na matawi wapya   waliochaguliwa pamoja na wanachama wa kata na wilaya ya kigoma Vijijini wanachama  wa cha mapinduzi na jumuiya zake.
(PICHA ZOTE NA FAHADI SIRAJI)


No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages