HABARI MPYA

Your Ad Spot

Jul 22, 2017

MAELFU WALIVYOFURIKA KATIKA MKUTANO WA RAIS DK. MAGUFULI WILAYANI KASULU MKOANI KIGOMA, JANA




Maelfu ya wananchi wa Kasulu Mjini waliohudhuria Mkutano wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli aliyeweka jiwe la msingi la ujenzi wa barabara ya Kidahwe - Kasulu yenye urefu wa kilometa 63. Barabara hii inajengwa na Serikali ya Tanzania kwa gharama ya Shilingi Bilioni 66.331 na itakamilika ifikapo Septemba 2018

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages