Maelfu ya wananchi wa Kasulu Mjini waliohudhuria Mkutano wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli aliyeweka jiwe la msingi la ujenzi wa barabara ya Kidahwe - Kasulu yenye urefu wa kilometa 63. Barabara hii inajengwa na Serikali ya Tanzania kwa gharama ya Shilingi Bilioni 66.331 na itakamilika ifikapo Septemba 2018
Your Ad Spot
Jul 22, 2017
Home
Unlabelled
MAELFU WALIVYOFURIKA KATIKA MKUTANO WA RAIS DK. MAGUFULI WILAYANI KASULU MKOANI KIGOMA, JANA
MAELFU WALIVYOFURIKA KATIKA MKUTANO WA RAIS DK. MAGUFULI WILAYANI KASULU MKOANI KIGOMA, JANA
Maelfu ya wananchi wa Kasulu Mjini waliohudhuria Mkutano wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli aliyeweka jiwe la msingi la ujenzi wa barabara ya Kidahwe - Kasulu yenye urefu wa kilometa 63. Barabara hii inajengwa na Serikali ya Tanzania kwa gharama ya Shilingi Bilioni 66.331 na itakamilika ifikapo Septemba 2018
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇