Wakati kuna baadhi ya Watanzania wachache ambao wanabeza umahiri wa Rais Dk. John Magufuli katika kulitumikia Taifa kwa uwezo wake wote kuhakikisha inakuwa nchi ya mfano hasa kiuchumi na maadili, Katika nchi za nje Juhudi hizo wanaziona na kuzitamani zitokee katika nchi zao. Pichani mmoja wa wanasiasa akiwa amevaa shati lenye jina la Rais Magufuli kama moja ya njia ya kujinadi kwa wapigakura ili kuungwa mkono kwa kufananishwa na Rais Dk Magufuli
Your Ad Spot
Jul 25, 2017
Home
Unlabelled
KENYA WATUMIA JINA LA RAIS DK. MAGUFULI KUSAKA KURA
KENYA WATUMIA JINA LA RAIS DK. MAGUFULI KUSAKA KURA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇