Rais Dk. John Pombe Joseph Magufuli leo amekutana na kufanya mazungumzo na Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya Barrick ya Canada Profesa John L. Thorton Ikulu jijini Dar es salaam. Katika mkutano huo, uliohudhuriwa pia na Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Paramagamba Kabudi na Balozi wa Canada hapa nchini, Ian Myles umemalizika kwa mafanikio makubwa ambapo pande zote zimekubaliana kukaa meza moja kutafuta ufumbuzi wa changamoto mbalimbali katika sekta ya madini. Habari kamili yaja punde
Your Ad Spot
Jun 14, 2017
Home
Unlabelled
SAKATA LA MAKINIKIA: MMILIKI WA BARRICK PROF. JOHN THORTON AJISALIMISHA KWA KUTINGA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM KUZUNGUMZA NA RAIS DK MAGUFULI
SAKATA LA MAKINIKIA: MMILIKI WA BARRICK PROF. JOHN THORTON AJISALIMISHA KWA KUTINGA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM KUZUNGUMZA NA RAIS DK MAGUFULI
Rais Dk. John Pombe Joseph Magufuli leo amekutana na kufanya mazungumzo na Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya Barrick ya Canada Profesa John L. Thorton Ikulu jijini Dar es salaam. Katika mkutano huo, uliohudhuriwa pia na Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Paramagamba Kabudi na Balozi wa Canada hapa nchini, Ian Myles umemalizika kwa mafanikio makubwa ambapo pande zote zimekubaliana kukaa meza moja kutafuta ufumbuzi wa changamoto mbalimbali katika sekta ya madini. Habari kamili yaja punde
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇