LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jun 14, 2017

SAKATA LA MAKINIKIA: MMILIKI WA BARRICK PROF. JOHN THORTON AJISALIMISHA KWA KUTINGA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM KUZUNGUMZA NA RAIS DK MAGUFULI


Rais Dk. John Pombe Joseph Magufuli leo amekutana na kufanya mazungumzo na Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya Barrick ya Canada Profesa John L. Thorton Ikulu jijini Dar es salaam. Katika mkutano huo, uliohudhuriwa pia na Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Paramagamba Kabudi na Balozi wa Canada hapa nchini, Ian Myles umemalizika kwa mafanikio makubwa ambapo pande zote zimekubaliana kukaa meza moja kutafuta ufumbuzi wa changamoto mbalimbali katika sekta ya madini. Habari kamili yaja punde

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages