LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jun 12, 2017

MBUNGE AMINA MOLLEL AWAKUMBUKA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM SHINYANGA

Mbunge wa Viti Maalumu Bi Amina Mollel, akiwakabidhi msaada wa vitu Mbalimbali Wanafunzi wenye mahitaji Maalumu wa Shule ya Msingi Buhangija iliyopo mkoani Shinyanga, Sambamba na Msaada huo aliweza Kukabidhi Kadi za Bima ya Afya Kwa ajili ya Matibabu.
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Buhangija Wakiwa wameketi, Wakati Mbunge wa Viti Maalum Bi Amina Mollel alipofika Kwenye Kituo hicho Kukabidhi Misaada ya Vitu Mbalimbali Ikiwemo Chakula na Kadi ya Bima ya Afya Kwa ajili ya Matibabu Kwa Watoto hao.
Mbunge wa Viti Maalum Bi Amina Mollel akipata Maelezo Mbalimbali Kutoka Mmoja wa Viongozi wa Kituo cha Buhangija Kinachohudumia Watoto wenye Mahitaji Maalum.
Watoto wenye Albnism Wanaosoma Shule ya Msingi Buhangija iliyopo Mkoani Shinyanga Wakimsikiliza Mbunge wa Viti Maalum Bi Amina Mollel, aliyefika Kwenye Kituo Hicho Kuwapatia Msaada wa Vitu Mbalimbali ikiwemo Kadi za Bima ya Afya Katika Mwezi Huu Mtukufu wa Ramadhani.
Mbunge wa Viti Maalum Bi Amina Mollel akizungumza na Baadhi ya Viongozi pamoja na Walimu Katika Shule ya Msingi ya Buhangija iliyopo Mkoani Shinyanga, Baada ya Kukabidhi Msaada wa Vitu Mbalimbali pamoja na Kadi za Bima ya Afya Kwa ajili ya Matibabu Kwa Watoto wenye Mahitaji Maalum.
Walimu wa Shule ya Msingi ya Buhangija Wakiwa Katika Picha ya Pamoja na Mbunge wa Viti Maalum Bi Amina Mollel ambae alifika Kwenye Shule hiyo Kwa ajili ya Kutoa Msaada Kwa Watoto wenye Mahitaji Maalum.
Picha kwa Hisani ya www.habari360.co.tz

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages