LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jun 3, 2017

KIKAO CHA BULEMBO NA WAJUMBE WILAYANI KIBONDO, LEO CHAJAA MSISIMKO WA AINA YAKE

 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania, Alhaj Abdallah Bulembo akiingia ukumbini kuzungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Kibondo, Mabalozi, watendaji wa CCM na wa Serikali, leo Wilayani Kibondo akiwa katika mwendelezo wa ziara zake za Kichama mikoani
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi, Tanzania, Alhajj Abdallah Bulembo akiwa amewasili ukumbini tayari kwa kikao hicho. Kushoto ni Katibu wa Jumuia hiyo mkoa wa Kigoma Nicholaus Zakaria, Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma Dk. Amani Kaborou na kushoto ni Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi mkoa wa Kigoma, Mbunge wa Viti Maalum Josephine Ngezabuke, Mbunge wa Mbambwe Atashasta Nditiye na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kibondo Josephat Ntabindi.
 Wajumbe wakishangilia bada ya Bulembo kuingia ukumbini 
 Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kibondo Josephat Ntabindi akifanya utambulisho kabla ya kufungua kikao hicho
 Wajumbe wakishangilia ukumbini
 Mjumbe wa NEC Moshi Ngunga akisalimiabaada ya kutambulishwa kwenye kikao hicho. Kushoto ni Mbunge wa Mhambwe Atashasta Nditiye
 Ofisa wa Makao Makuu ya Jumuia ya Wazazi Omar Kalolo akitamba ukumbini wakati akijitambulisha.
 Ofisa kutoka Makao Makuu ya Jumuia ya Wazazi Ndu Mlami akisalimia baada ya kutambulishwa 
 Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi mkoa wa Kigoma, Mbunge wa Viti Maalum Josephine Ngezabuke akijimwayamwaya ukumbini baada ya kutambulishwa
 Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi mkoa wa Kigoma, Mbunge wa Viti Maalum Josephine Ngezabuke akijimwayamwaya ukumbini baada ya kutambulishwa
 Baadhi ya viongozi wa Chama, wakiwa ukumbini
 Mtaalam kutoka Idara ya Afya Wilaya ya Kibondo Joseph Kalogabwa akitoa maelezo kwa wajumbe kuhusu njia ya kujikinga na ugonjwa wa Ebola 
 Mwenyekiti wa CCM mkoa a Kigoma Dk Amani Kaborou akifanya utambulisho kabla ya kumkaribusha Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania Alhaj Abdallah Bulembo, kuzungumza katika kikao hicho
 Mbunge wa Muhambwe Atashashta Nditiye akisalimia baada ya kutambulishwa
 Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazi mkoa wa Kigoma Nicholaus Zakaria akisalimia baada ya kutambulishwa
 Mjube wa Kamati Kuu ya CCM, Alhaj abdallah Bulembo akizungumza na wajumbe wakati wa kikao hicho
 Mjube wa Kamati Kuu ya CCM, Alhaj abdallah Bulembo akizungumza na wajumbe wakati wa kikao hicho
 Katibu Msaidizi wa CCM wilaya ya Kibondo Mfaume Mkusa na Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM katika Wilaya hiyo Pendo Machilu wakiwajibika kwa kuchukua dondoo katika kikao hicho
 Mkuu wa Wilaya ya Kibondo Lous Bura akitoa maelezo ya namna alivyosimamia ilani ya CCM ya 2015/20
 Mmoja wa wajumbe akifuatilia kwa makini wakati Mkuu huyo wa wilaya akieleza utekelezaji wa Ilani
 Mbunge wa Muhambwe akitoa maelezo ya jinsi anavyosimamia ilani ya CCM ya 2015/20 
 Mwalimu Mstaafu John Busunzu akikabidhi waraka wake kwa Bulembo baada ya kuusoma, Waraka huo pamoja na mambo mengine ulihusu kudai haki za wazee wastaafu 
 Baadhi ya wajumbe wakimzawadia Bulembo asali
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akimkabidhi sh 400,000/= Diwani wa Viti Maalum Kata ya Buzunzu, Grace Zakaria baada ya wajumbe kuchangishwa ukumbini kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa Ofisi ya CCM Tawi la Busunzu.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akimkabidhi sh 170,000/= Katibu wa UWT Kata ta Lugonga Jane Kabiga baada ya wajumbe kuchangishwa ukumbini kwa ajili ya ununuzi wa Baiskeli ya kufanyia kazi za Jumuia hiyo katika kata.PICHA: BASHIR NKOROMO

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages