LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jun 1, 2017

BULEMBO AUNGURUMA KIGOMA MJINI LEO, AZINDUA SHINA LA UVCCM LA DK. JOHN MAGUFULI

 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya WazaziTanzania, Alhaj Abdallah Bulembo akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM kutoka wilaya za Uvinza, Kigoma Vijijini na Kigoma Mjini, Mabalozi, Watendaji wa Chama na wa Serkali, mjini Kigoma, leo
 Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM kutoka wilaya za Uvinza, Kigoma Vijijini na Kigoma Mjini, Mabalozi, Watendaji wa Chama na wa Serkali, mjini Kigoma, wakishangilia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya WazaziTanzania, Alhaj Abdallah Bulembo alipokuwaakizungmza nao katika kikao kilichofanyika Kigoma mjini, leo.
 Wajumbe wakiwa kwenye kikao hicho, 
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya WazaziTanzania, Alhaj Abdallah Bulembo akisaini kitabu cha wageni bada ya kuwasili meza kuu kuhutubia kikao hicho. Kushoto ni Mjumbe wa NEC kutoka Wilaya ya Uvinza Asha Baraka
 Wajumbe wakiwa ukumbini
 Wajumbe kutoka Uvinza wakishangilia walipotambulishwa
 Baadhi ya madiwani wakishangilia baada ya kutambulishwa
 Maofisa wa Makao Makuu ya Jumuia ya Wazazi, wakisaini vitacbu vya wageni wakati wa kikao hicho
 Katibu wa CCM mkoa wa Kigoma, Naomi Kapambala akizungumza mwanzoni kwa kikao hicho
 Katibu wa Siasa na Oganaizesheni kutoka Makao Makuu ya Jumuia ya Wazazi Tanzania, Ndugu Mgaya akisalimia baada ya kutambulishwa kwenye kikao hicho
 Wajumbea wakimshangilia Ndigi Mgaya wakti akijitambulisha
 Ofisa kutoka Makao Makuu ya Jumuia ya Wazazi Tanzania akijitambulisha
 Baadhi ya madiwani wakitambulishwa
 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma, Dk Amani Kabirou akifungua kikao hicho. Kulia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya WazaziTanzania, Alhaj Abdallah Bulembo na kushoto mi Mjumbe wa NEC kutoka Uvinza Asha Baraka 
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya WazaziTanzania, Alhaj Abdallah Bulembo, akitaka ufafanuzi wa jambo, kutoka kwa Katibu wa CCM mkoa wa Kigoma, Naomi Kapambala baada ya kukabidhiwa Taarifa ya Uchaguzi nfani ya Chama, wakati wa kikao hicho
 Afisa Afya wa mkoa wa Kigoma, Ambakisye Mhune akitoa darasa kwa wajumbe wa kikao hicho namna ya kujihami na ugonjwa wa Ebola, ambao alisema, hivi sasa umelipika ena katika nchi jirani ya Congo DRC.
 Mjumbe wa NEC, Kirumbe Ng'enda akifuatiia kwa makini mada hiyo iliyokuwa ikitolwa na mtaalam huyo 
 Mtaalam kutoka Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Kigoma akitoa taarifa kuhusu mwenendo wa hali ya uchumi katika mkoa huo
 Wajmbea wakiwa ukumbini
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya WazaziTanzania, Alhaj Abdallah Bulembo, akizungumza na wajumbe kutoka ufafanuzi wa maswala mbalimbali ikiwemo uhaguzi ndani ya Chama, Ndugu Bulembo kabla ya kuzungumza na wajube hao alitawazwa kufalishwavazi la heshima la Waha laaina ya Mpuzu, ambalo ni ishara ya kiongozi makini na mwenye kuheshimika
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya WazaziTanzania, Alhaj Abdallah Bulembo, akizungumza na wajumbe kutoka ufafanuzi wa maswala mbalimbali ikiwemo uhaguzi ndani ya Chama, Ndugu Bulembo kabla ya kuzungumza na wajube hao alitawazwa kufalishwavazi la heshima la Waha laaina ya Mpuzu, ambalo ni ishara ya kiongozi makini na mwenye kuheshimika
 "Hii Katiba ya Chama ndiyo mwongozo wa mambo yote ndani ya CCM,ikiwemo namna ya kuomba uongozi", alisema Bulembo akizungumza na wajumbe hao
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania Alhaj Abdallah Bulembo akiwasomea wajumbe taratibu na kanuni za uchaguzi ndani ya Chama
 Mjumbe wa KamatiKuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania, Alhaj Abdallah Bulembo akiondoka meza kuu bada ya kikao hicho
 Bulembo akiondoka ukumbini
  
 Bulelbo akiagana na baadhi ya wajumbe waliohudhuria kikao hicho
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya WazaziTanzania, Alhaj Abdallah Bulembo, akimpongeza msoma risala, baada ya kusomewa risala hiyo kabla ya kufungua Shina la Umoja wa Vijana wa CCM, la Dk. John Magufuli 
 Katibu wa CCMmkoa wa Kigoma, NaomiKapambala akimpatia maenelezo Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya WazaziTanzania, Alhaj Abdallah Bulembo, kabla ya kuzindua Shna la Imoja wa Vijana wa CCM la Dk. John Magufuli katika eneo la Mwanga mkoani humo leo
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya WazaziTanzania, Alhaj Abdallah Bulembo, akigawa kadi za UVCCM kwa mmoja wa wanachama Wapya kabla ya kuzindua shina hilo
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya WazaziTanzania, Alhaj Abdallah Bulembo, akipandisha bendera ya CCM, kuzidua Shina la Umoja wa Vijana wa CCM a Dk. John Magufuli, kaika eneo la Mwanga mkoani Kigoma, leo
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya WazaziTanzania, Alhaj Abdallah Bulembo, akisoma mandhishi, bada ya kuondoa kitambaa ikiwa ni ishara ya kuzidua Shina la Umoja wa Vijana wa CCM, la Dk John Magufuli katika eneo la Mwangamkoani Kigoma, 
 Shamra shamra kwenye shina hilo baada ya kuzinduliwa
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya WazaziTanzania, Alhaj Abdallah Bulembo, akikabidhi fedha kwa uongozi wa shina hilo, fedha hizo alichangisha kwa wadau waliokuwemo kisha akajazia mwenyewe. PICHA: BASHIR NKOROMO

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages